caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Yaseen, Aya 31

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 41 · 36:31

أَلَمْ يَرَوْا۟ كَمْ أَهْلَكْنَا قَبْلَهُم مِّنَ ٱلْقُرُونِ أَنَّهُمْ إِلَيْهِمْ لَا يَرْجِعُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterJe, hawaoni umma ngapi tulizoziangamiza kabla yao? Hakika hao hawarejei tena kwao.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniJe! Hawaoni umma ngapi tulizo ziangamiza kabla yao? Hakika hao hawarejei tena kwao.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70