caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Saba, Aya 51

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 58 · 34:51

وَلَوْ تَرَىٰٓ إِذْ فَزِعُوا۟ فَلَا فَوْتَ وَأُخِذُوا۟ مِن مَّكَانٍ قَرِيبٍ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa lau ungeliona watakapobabaika, basi hapana pa kukimbilia! Na watakamatwa mahala pa karibu.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa lau ungeli ona watapo babaika, basi hapana pa kukimbilia! Na watakamatwa mahala pa karibu.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70