caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura As-Sajda, Aya 21

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 75 · 32:21

وَلَنُذِيقَنَّهُم مِّنَ ٱلْعَذَابِ ٱلْأَدْنَىٰ دُونَ ٱلْعَذَابِ ٱلْأَكْبَرِ لَعَلَّهُمْ يَرْجِعُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa hakika tutawaonjesha katika adhabu hafifu kabla ya adhabu kubwa, huenda labda watarejea.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa tutawaonjesha adhabu khafifu kabla ya adhabu kubwa, huenda labda watarejea.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70