caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Muminoon, Aya 61

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 74 · 23:61

أُو۟لَٰٓئِكَ يُسَٰرِعُونَ فِى ٱلْخَيْرَٰتِ وَهُمْ لَهَا سَٰبِقُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterBasi wote hao ndio wanaokimbilia mambo ya heri, na ndio watakaotangulia kuyafikia.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniBasi wote hao ndio wanao kimbilia katika mambo ya kheri, na ndio watakao tangulia kuyafikia.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70