caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Muminoon, Aya 46

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 74 · 23:46

إِلَىٰ فِرْعَوْنَ وَمَلَإِي۟هِۦ فَٱسْتَكْبَرُوا۟ وَكَانُوا۟ قَوْمًا عَالِينَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterKumwendea Firauni na wakuu wake. Lakini wakatakabari, nao walikuwa kaumu majeuri.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniKumwendea Firauni na wakuu wake. Lakini walijivuna, nao walikuwa watu majeuri.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70