caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Muminoon, Aya 111

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 74 · 23:111

إِنِّى جَزَيْتُهُمُ ٱلْيَوْمَ بِمَا صَبَرُوٓا۟ أَنَّهُمْ هُمُ ٱلْفَآئِزُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHakika Mimi leo nimewalipa kwa vile walivyosubiri. Bila ya shaka hao ndio wenye kufuzu.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniHakika Mimi leo nimewalipa kwa vile walivyo subiri. Bila ya shaka hao ndio wenye kufuzu.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70