caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Baqara, Aya 3

Madina · mpangilio wa kuteremshwa 87 · 2:3

ٱلَّذِينَ يُؤْمِنُونَ بِٱلْغَيْبِ وَيُقِيمُونَ ٱلصَّلَوٰةَ وَمِمَّا رَزَقْنَٰهُمْ يُنفِقُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterAmbao huyaamini ya ghaibu na hudumisha Sala, na hutoa katika yale tuliyowaruzuku.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniAmbao huyaamini ya ghaibu na hushika Sala, na hutoa katika tuliyo wapa.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70