caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Hijr, Aya 74

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 54 · 15:74

فَجَعَلْنَا عَٰلِيَهَا سَافِلَهَا وَأَمْطَرْنَا عَلَيْهِمْ حِجَارَةً مِّن سِجِّيلٍ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterKwa hivyo, tukaugeuza mji huo juu chini, na tukawanyeshea mvua ya mawe ya udongo wa kutoka Motoni.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa tukaigeuza nchi juu chini, na tukawanyeshea mvua ya mawe ya udongo wa Motoni.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70