caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Yusuf, Aya 97

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 53 · 12:97

قَالُوا۟ يَٰٓأَبَانَا ٱسْتَغْفِرْ لَنَا ذُنُوبَنَآ إِنَّا كُنَّا خَٰطِـِٔينَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterWakasema: Ewe baba yetu! Tuombee msamaha kwa dhambi zetu. Hakika sisi tulikuwa katika waliokosa.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniWakasema: ewe baba yetu, tusamehe Dhambi zetu hapana shaka sisi, tulikuwa na Makosa.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70