caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Hud, Aya 121

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 52 · 11:121

وَقُل لِّلَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ ٱعْمَلُوا۟ عَلَىٰ مَكَانَتِكُمْ إِنَّا عَٰمِلُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa waambie wale wasioamini, "Fanyieni mahali penu, nasi hakika pia tunafanya.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa waambie wale wasio amini: Fanyeni muwezavyo, nasi pia tunafanya.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70