caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Inshiqaaq, Aya 25

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 83 · 84:25

إِلَّا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ وَعَمِلُوا۟ ٱلصَّٰلِحَٰتِ لَهُمْ أَجْرٌ غَيْرُ مَمْنُونٍۭ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterIsipokuwa wale walioamini na wakatenda mema; hao watakuwa na ujira usiomalizika.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniIsipo kuwa wale walio amini na wakatenda mema; hao watakuwa na ujira usio malizika.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70