وَأَمَّا مَنْ أُوتِىَ كِتَٰبَهُۥ بِشِمَالِهِۦ فَيَقُولُ يَٰلَيْتَنِى لَمْ أُوتَ كِتَٰبِيَهْ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa ama atakayepewa kitabu chake katika mkono wake wa kushoto, basi yeye atasema: "Laiti nisingelipewa kitabu changu!
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa ama atakaye pewa kitabu chake katika mkono wake wa kushoto, basi yeye atasema: Laiti nisingeli pewa kitabu changu!