caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Hadid, Aya 22

Madina · mpangilio wa kuteremshwa 94 · 57:22

مَآ أَصَابَ مِن مُّصِيبَةٍ فِى ٱلْأَرْضِ وَلَا فِىٓ أَنفُسِكُمْ إِلَّا فِى كِتَٰبٍ مِّن قَبْلِ أَن نَّبْرَأَهَآ إِنَّ ذَٰلِكَ عَلَى ٱللَّهِ يَسِيرٌ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHautokei msiba katika ardhi wala katika nafsi zenu ila umekwishaandikwa katika Kitabu kabla ni mepesi.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniHautokei msiba katika ardhi wala katika nafsi zenu ila umekwisha andikwa katika Kitabu kabla hatujauumba. Hakika hayo kwa Mwenyezi Mungu ni mepesi.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70