caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Adh-Dhaariyat, Aya 50

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 67 · 51:50

فَفِرُّوٓا۟ إِلَى ٱللَّهِ إِنِّى لَكُم مِّنْهُ نَذِيرٌ مُّبِينٌ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterBasi kimbilieni kwa Mwenyezi Mungu, hakika mimi ni mwonyaji kwenu wa kubainisha nitokae kwake.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniBasi kimbilieni kwa Mwenyezi Mungu, hakika mimi ni mwonyaji kwenu wa kubainisha nitokae kwake.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70