caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Muhammad, Aya 37

Madina · mpangilio wa kuteremshwa 95 · 47:37

إِن يَسْـَٔلْكُمُوهَا فَيُحْفِكُمْ تَبْخَلُوا۟ وَيُخْرِجْ أَضْغَٰنَكُمْ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa akikutakeni hizo na kukushikilieni, mtafanya ubahili, na atatoa undani wa chuki zenu.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa akikutakeni hayo na kukushikilieni mtafanya ubakhili, na atatoa undani wa chuki zenu.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70