caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Muhammad, Aya 17

Madina · mpangilio wa kuteremshwa 95 · 47:17

وَٱلَّذِينَ ٱهْتَدَوْا۟ زَادَهُمْ هُدًى وَءَاتَىٰهُمْ تَقْوَىٰهُمْ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa wale walioongoka anawazidishia uongofu na anawapa ucha Mungu wao.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa wale walio ongoka anawazidishia uongofu na anawapa uchamngu wao.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70