أَوَمَن يُنَشَّؤُا۟ فِى ٱلْحِلْيَةِ وَهُوَ فِى ٱلْخِصَامِ غَيْرُ مُبِينٍ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterAti aliyelelewa katika mapambo na katika mabishano hawezi kusema kwa bayana?
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniAti aliye lelewa katika mapambo, na katika mabishano hawezi kusema kwa bayana?