caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Ash-Shura, Aya 25

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 62 · 42:25

وَهُوَ ٱلَّذِى يَقْبَلُ ٱلتَّوْبَةَ عَنْ عِبَادِهِۦ وَيَعْفُوا۟ عَنِ ٱلسَّيِّـَٔاتِ وَيَعْلَمُ مَا تَفْعَلُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNaye ndiye anayepokea toba kwa waja wake, na anasamehe mabaya, na anayajua mnayoyatenda.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNaye ndiye anaye pokea toba kwa waja wake, na anasamehe makosa, na anayajua mnayo yatenda.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70