caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Ahzaab, Aya 68

Madina · mpangilio wa kuteremshwa 90 · 33:68

رَبَّنَآ ءَاتِهِمْ ضِعْفَيْنِ مِنَ ٱلْعَذَابِ وَٱلْعَنْهُمْ لَعْنًا كَبِيرًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterMola wetu Mlezi, wape wao adhabu mara mbili, na uwalaani laana kubwa."
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniMola wetu Mlezi! Wape wao adhabu mara mbili, na uwalaani laana kubwa.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70