caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Aal-i-Imraan, Aya 48

Madina · mpangilio wa kuteremshwa 89 · 3:48

وَيُعَلِّمُهُ ٱلْكِتَٰبَ وَٱلْحِكْمَةَ وَٱلتَّوْرَىٰةَ وَٱلْإِنجِيلَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa atamfundisha kuandika na hekima na Taurati na Injili.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa atamfunza kuandika na Hikima na Taurati na Injili.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70