وَكَانَ فِى ٱلْمَدِينَةِ تِسْعَةُ رَهْطٍ يُفْسِدُونَ فِى ٱلْأَرْضِ وَلَا يُصْلِحُونَ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa walikuwamo mjini watu tisa wakifanya uharibifu katika nchi wala hawafanyi mambo kutengenea.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa walikuwamo mjini watu tisa wakifanya ufisadi katika nchi wala hawafanyi la maslaha.