caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Muminoon, Aya 68

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 74 · 23:68

أَفَلَمْ يَدَّبَّرُوا۟ ٱلْقَوْلَ أَمْ جَآءَهُم مَّا لَمْ يَأْتِ ءَابَآءَهُمُ ٱلْأَوَّلِينَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterJe, hawakuifikiri kauli, au yamewajia ambayo hayakuwafikia baba zao wa zamani?
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniJe, hawakuifikiri kauli, au yamewajia yasiyo wafikia baba zao wa zamani?
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70