caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Hijr, Aya 18

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 54 · 15:18

إِلَّا مَنِ ٱسْتَرَقَ ٱلسَّمْعَ فَأَتْبَعَهُۥ شِهَابٌ مُّبِينٌ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterIsipokuwa mwenye kusikiliza kwa kuibia, naye hufuatwa na kijinga cha moto kilicho dhahiri.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniIsipo kuwa mwenye kusikiliza kwa kuibia, naye hufuatwa na kijinga cha moto kinacho onekana.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70