caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Yusuf, Aya 49

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 53 · 12:49

ثُمَّ يَأْتِى مِنۢ بَعْدِ ذَٰلِكَ عَامٌ فِيهِ يُغَاثُ ٱلنَّاسُ وَفِيهِ يَعْصِرُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterKisha baada ya haya utakuja mwaka ambao ndani yake watu watasaidiwa na watakamua.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniKisha baada ya haya utakuja mwaka ambao katika mwaka huo watu watasaidiwa, na watakamua.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70