caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Asr, Aya 3

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 13 · 103:3

إِلَّا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ وَعَمِلُوا۟ ٱلصَّٰلِحَٰتِ وَتَوَاصَوْا۟ بِٱلْحَقِّ وَتَوَاصَوْا۟ بِٱلصَّبْرِ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterIla wale walioamini, na wakatenda mema, na wakausiana kwa haki, na wakausiana kusubiri.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniIla wale walio amini, na wakatenda mema, na wakausiana kwa haki, na wakausiana kusubiri.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70