caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura An-Naazi'aat, Aya 46

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 81 · 79:46

كَأَنَّهُمْ يَوْمَ يَرَوْنَهَا لَمْ يَلْبَثُوٓا۟ إِلَّا عَشِيَّةً أَوْ ضُحَىٰهَا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNi kama kwamba wao siku watakapoiona (hiyo Saa) hawakukaa ila jioni moja tu, au mchana wake.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNi kama kwamba wao siku watapo iona (hiyo Saa) hawakukaa ila jioni moja tu, au mchana wake.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70