إِنَّ ٱلَّذِينَ يَأْكُلُونَ أَمْوَٰلَ ٱلْيَتَٰمَىٰ ظُلْمًا إِنَّمَا يَأْكُلُونَ فِى بُطُونِهِمْ نَارًا وَسَيَصْلَوْنَ سَعِيرًا
Swahili Translation - Rowad Translation CenterHakika, wale wanaokula mali za mayatima kwa dhuluma, hakuna shaka yoyote wanakula moto matumboni mwao. Na wataingia Moto wenye mwako mkali.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniHakika wanao kula mali ya mayatima kwa dhulma, hapana shaka yoyote wanakula matumboni mwao moto, na wataingia Motoni.