فَأَمَّا ٱلَّذِينَ شَقُوا۟ فَفِى ٱلنَّارِ لَهُمْ فِيهَا زَفِيرٌ وَشَهِيقٌ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterAma wale waliojitia mashakani, hao watakuwa Motoni, humo watavuta pumzi na kuitoa kwa ugumu mkubwa.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniAma wale wa mashakani hao watakuwamo Motoni wakiyayayatika na kukoroma.